Day: February 10, 2025

...
   

Mpenzi wangu alivyokunywa sumu nikiwa ghetto kwake!

Mimi ni binti wa miaka 24 nipo kwenye mahusiano huu mwaka tatu sasa lakini haya mahusiano siyaelewi yaani mwaka jana alikuja nyumbn kutoa posa huku akidai kuwa anatafuta mahari lakin hadi leo hiii mahari bado hajapata!. Kingine ni kwamba huyu mchumba yangu ni malaya sana, yaani siomwanifu hata kidogo, haipiti mwezi bila ya kumfumania na […]

   READ MORE
...
   

Mbinu niliyotumia kupata Bodaboda yangu iliyoibiwa!

Jina langu ni Musa kutokea Ruvuma, ni miongoni mwa vijana wengi wanaojishughulisha na kazi ya Bodaboda katika mkoa huu, ni kazi ambayo nimeifanya tangu nilipomaliza kidato cha nje mwaka 2010. Kwa hapa mkoani ni kazi ambayo imetoa fursa za ajira kwa vijana wengi lakini kumekuwa na changamoto moja ambayo ipo sehemu nyingine pia, nayo ni […]

   READ MORE
...
   

Nimemkopea mume mshahara akanunua gari ila bado ananitesa!

Muda mfupi baada ya kuolewa, mume wangu aliniambia nikope mshahara wangu wote, nilikataa lakini niliishia kipigo, tena akiniambia kuwa mimi ni mbinafsi, sitaki kumpa pesa na kama siwezi kumsaidia wakati akiwa na shida basi sipaswi kuwa mke wake. Sikuwa na namna, nilichukua mkopo na kumpa, lakini badala ya kuenda kujenga alinunua gari, kumuuliza kwanini akaniambia […]

   READ MORE